Font Size
Mathayo 12:46-48
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 12:46-48
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Wafuasi wa Yesu ni Familia Yake Halisi
(Mk 3:31-35; Lk 8:19-21)
46 Yesu alipokuwa akiongea na watu, mama yake na ndugu zake walikuwa nje. Walitaka kuongea naye. 47 Mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na wadogo zako wanakusubiri nje. Wanataka kuongea nawe.”
48 Yesu akajibu, “Mama yangu ni nani? Ndugu zangu ni nani?”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International